• Top definitionTop Definition

Chukizo

abomination

e.g.

wakawaambia, Bwana awaangalie na kuamua; kwa kuwa mmefanya harufu yetu kuwa chukizo mbele ya Farao, na mbele ya watumishi wake, mkatia upanga mikononi mwao, watuue.


date publishedJuly 21, 2022

  • Definition 2

Chukizo

abomination

e.g.

Kuoana ndugu kwa jamii ya wasukuma ni chukizo.

en

It is an abomination in the sukuma society for relatives to marry.


date publishedMay 14, 2022
Thanks for the feedback.

Setting up an account is free! Login to leave a like.