Anna
Joined 3 months ago
Kulunalila
Ni jina la kiume lenye maana ya mtoto aliye zaliwa alikuwa anateseka au alipitia magumu mengi katika ukuaji wake .
e.g.
Kulunalila yaza chambo kunawa
sw
Kulunalila ameenda ziwani kuoga
By
Anna

Kezilahabhi
Ni jina la kiume linalo manisha mtu aliye zaliwa sehemu mbaya
e.g.
Kezilahabhi yaza sokoni
sw
Kezilahabhi ameenda sokoni
By
Anna
