Searching...

Honorata
Joined 2 years ago

Ibuyu lya kiafrica

Mbuyu wa kiafrica

e.g.

Kasi ngyumu ee maja jii oo ibuyu lya kiafurika

sw  

Ni kazi ngumu kukata mbuyu wa kiafrica



Ndumuu

Ndimu

e.g.

Koika samaki ndimu walodaa sana.

sw  

Ukiweka ndimu kwenye samaki wanakuwa watamu sana.



Ipeyasi

Pea

e.g.

Ipeasi elyi lyiboyee era ehoo.

sw  

Hili pea limeoza tupa uko



Mboo

Kunyesha

e.g.

Mboo yakaba enu paka ikyende fuu

sw  

Mvua imenyesha leo hadi ikasabisha maafuriko



Usende

Mguu

e.g.

Udende loko luledokaa ngachidima etembeya

sw  

Mguu wangu umevunjika siwezi kutembea



Kiarafuye

Kinyonga

e.g.

Kiarafuye kyalacha rangi kila saa kulingana na masingira

sw  

Kinyonga hubadili rangi mara kwa mara kulingana Na mazingira



Sabibu

Zabibu

e.g.

Yaa chi kodu sabibu tifye tidemoo Dodoma

sw  

Hapa nchi kwetu zabibu nyingi zinalimwa Dodoma.


Thanks for the feedback.

Setting up an account is free! Login to leave a like.