Searching...

waziri
Joined 2 years ago

Kilo

usiku

e.g.

Uwona kilo cha neng'ino kifisile milawu nene ndihega ipa.

sw  

Ukiona usiku wa Leo umeingia ujue mimi kesho naondoka apa.



Mwalimu

Ni mtu anayefundisha watu juu ya maada flani.

e.g.

Mwigisi

Umwigisi pakukwigisa neke uwona sukwelewa lekage uwuse ulunyakutigila lwiva ndawuli

sw  

Mwalimu anapokufundisha halafu huelewi inatakiwa uulize kuwa inakuwaje au anamaanisha mini.



Mchezo

Ni burudani na mazoezi kwa viungo vya mwili.

e.g.

Mwihesigo

Pusizile imigo imwihesigo ndo gwainoga hilo.

sw  

Mchezo mzuri baada ya kumaliza kazi.



Mama

Mama ni mzazi wa kike mwenye majukumu ya kulea familia akisaidiana na baba.

e.g.

Lunyoko

Umwana saivina ndaa kwa ulunyoko.

sw  

Mtoto hakui kwa mama.



Chungu

Ni chombo cha kitamaduni kilichotengenezwa kwa udongo wa mfinyazi na kuchomwa na moto.

e.g.

Kitonga

Umugoda saligufwaye kumtamwa telekelage mkitonga.

sw  

Dawa ili ifae kwa mgonjwa pikia kwenye chungu.



Chakulah

Ni kitu chochote kinachofaa kuliwa kama sehemu ya afya kwa binadamu na wanyama.

e.g.

Filyo

Namwaka kuna filyo fyolofu kulutila umwaka gwaigolo.

sw  

Mwaka huu kuna vyakula vingi kuzidi mwaka jana



Paa

Ni juu ya nyumba au ezeko la nyumba.

e.g.

King'a

Uwona iking'a yihulula lukagulage ukutilgia ikaye yisache.

sw  

UUkiona paa la nyumba linavuja ujue nyumba imechakaa


Thanks for the feedback.

Setting up an account is free! Login to leave a like.