Hili ni jina linalopatikana kanda ya ziwa katika kabila la wajita.
malanyingi jina hili linatokana na wakati wa njaa. hivyo mtoto wa kiume atakae zaliwa katika kipindi kigumu kama hicho anapeewa hilo jina .
e.g.
Wanjara kalya amalibhwa
sw
Wanjara anakula mihogo
Setting up an account is free! Login to leave a like.