Muziki
music
e.g.
Wakati wangu me uskiza muziki
en
My leisure time I listen to music
By
Anonymous
April 17, 2022
Muziki
music
e.g.
Akizungumza uuzaji wa muziki wa Tanzania nje, amesema ipo haja ya wasanii kuacha kukopi na kupest (kunakiri) kwani kwa kufanya hivyo hawauzi utamaduni na hivyo wanainyima nchi fursa ya kujulikana mwisho.
By
Anonymous
October 11, 2021
Muziki
music
e.g.
Akizungumza kuhusu muziki wake alisema kwamba yeye anapiga muziki wa rege lakini si kwa mtazamo wa Jimmy Clief,Bob marley na Burning Spear ; ni muziki wenye utamaduni wa nyumbani na hivyo kwua na rege yenye utambulisho wa Tanzania.
By
Anonymous
September 29, 2021
Muziki
Music
e.g.
Napenda musiki ya bongo
en
I love bongo music genre
By
Naomietwelve
September 1, 2022